Wednesday, 29 May 2024

VIDEO: TALGWU wamjia juu RC Makonda, walaani kauli zake dhidi ya mtumishi wa umma

 


Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za mitaa Tanzania TALGWU kimelaani matamshi aliyotoa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda dhidi ya mtumishi wa umma wilayani Longido huku wakidai yanavunja heshima ya mfanyakazi, yanadhalilisha na kiasi kikubwa yanavunja ari na morali ya kufanya kazi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHU KUSUBSCRIBE

TOA MAONI YAKO HAPA



BOFYA “LIKE” HAPO CHINI KUPATA HABARI ZETU..!!
 
Support : Peruzibongo Admin Peruzibongo Kwa Habari MotoMoto Bila Kikomo
Copyright © 2009. Shikamoo Pesa - Haki Zote Zimehifadhiwa.
Sponsored by Mwanahabarihuru
Proudly powered by Blogger